Skip to content
Zaburi 17:1-2

Zaburi 17:1-2

1
Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
2
Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options