Skip to content
Zaburi 16:9-11

Tumaini la Ufufuo

Zaburi 16:9-11
9
Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
10
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.
11
Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options