Mungu Ndiye Fungu Langu Salama
5
Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
6
Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
7
Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
8
Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Settings