Rukia maudhui
Zaburi 148:7-10

Wito kwa Dunia na Asili

Zaburi 148:7-10
7
Mtukuzeni Bwana kutoka duniani, ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,
8
umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu, pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,
9
ninyi milima na vilima vyote, miti ya matunda na mierezi yote,
10
wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options