Skip to content
Zaburi 148:1-6

Zaburi 148:1-6

1
Msifuni Bwana. Msifuni Bwana kutoka mbinguni, msifuni juu vileleni.
2
Msifuni, enyi malaika wake wote, msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.
3
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.
4
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.
5
Vilisifu jina la Bwana kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.
6
Aliviweka mahali pake milele na milele, alitoa amri ambayo haibadiliki milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options