Rukia maudhui
Zaburi 135:15-18

Upumbavu na Udhaifu wa Sanamu

Zaburi 135:15-18
15
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options