Skip to content
Zaburi 135:13-14

Zaburi 135:13-14

13
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options