Rukia maudhui
Zaburi 13:1-2

Kilio cha Kuachwa

Zaburi 13:1-2
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?
2
Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options