Skip to content
Zaburi 13:3-4

Zaburi 13:3-4

3
Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.
4
Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options