Skip to content
Zaburi 129:1-3

Zaburi 129:1-3

1
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
3
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options