Skip to content
Zaburi 129:5-8

Ombi la Hukumu Juu ya Maadui wa Sayuni

Zaburi 129:5-8
5
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
6
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
7
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options