Rukia maudhui
Zaburi 126:4-6

Maombi ya Kurejeshwa Kikamilifu na Mavuno

Zaburi 126:4-6
4
Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa, kama vijito katika Negebu.
5
Wapandao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.
6
Yeye azichukuaye mbegu zake kwenda kupanda, huku akilia, atarudi kwa nyimbo za shangwe, akichukua miganda ya mavuno yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options