Skip to content
Zaburi 127:1-2

Mungu Ndiye Anayeijenga Kazi

Zaburi 127:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni. Bwana asipoijenga nyumba, wajengao hufanya kazi bure. Bwana asipoulinda mji, walinzi wakesha bure.
2
Mnajisumbua bure kuamka mapema na kuchelewa kulala, mkitaabikia chakula: kwa maana yeye huwapa usingizi wapenzi wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options