Skip to content
Zaburi 127:3-5

Watoto ni Urithi Kutoka kwa Mungu

Zaburi 127:3-5
3
Wana ni urithi utokao kwa Bwana, watoto ni zawadi kutoka kwake.
4
Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.
5
Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options