Skip to content
Zaburi 127:3-5

Zaburi 127:3-5

3
Wana ni urithi utokao kwa Bwana, watoto ni zawadi kutoka kwake.
4
Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.
5
Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options