Rukia maudhui
Zaburi 126:1-3

Kukumbuka kwa Furaha Kurejeshwa

Zaburi 126:1-3
1
Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
2
Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
3
Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options