Skip to content
Zaburi 125:3-5

Kuzuiwa kwa Waovu

Zaburi 125:3-5
3
Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
4
Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
5
Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options