Skip to content
Zaburi 125:1-2

Usalama wa Kudumu wa Waaminifu

Zaburi 125:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2
Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options