Skip to content
Zaburi 124:6-8

Zaburi 124:6-8

6
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options