Rukia maudhui
Zaburi 125:1-2

Usalama wa Kudumu wa Waaminifu

Zaburi 125:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2
Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options