Skip to content
Zaburi 122:1-5

Zaburi 122:1-5

1
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya Bwana.”
2
Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama malangoni mwako.
3
Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
4
Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
5
Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options