3
Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
4
Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
5
Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.