- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Kuingia Malangoni pa Wokovu
Zaburi 118:19-27
19
Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru Bwana.
20
Hili ni lango la Bwana ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.
21
Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.
22
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23
Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
24
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
25
Ee Bwana, tuokoe, Ee Bwana, utujalie mafanikio.
26
Heri yule ajaye kwa jina la Bwana. Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.
27
Bwana ndiye Mungu, naye ametuangazia nuru yake. Mkiwa na matawi mkononi, unganeni kwenye maandamano ya sikukuu hadi kwenye pembe za madhabahu.
Settings