Zaburi 114:5-8
5
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.