Rukia maudhui
Zaburi 112:10

Hatima ya Mwisho ya Waovu

Zaburi 112:10
Inaonyesha mstari 10 pamoja na muktadha unaouzunguka.
7
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options