- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Ishara na Maajabu Nchini Misri
Zaburi 105:26-36
26
Akamtuma Mose mtumishi wake, pamoja na Aroni, aliyemchagua.
27
Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao, miujiza yake katika nchi ya Hamu.
28
Alituma giza na nchi ikajaa giza, kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?
29
Aligeuza maji yao kuwa damu, ikasababisha samaki wao kufa.
30
Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.
31
Alisema, yakaja makundi ya mainzi, na viroboto katika nchi yao yote.
32
Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe, yenye umeme wa radi nchini yao yote,
33
akaharibu mizabibu yao na miti ya tini, na akaangamiza miti ya nchi yao.
34
Alisema, nzige wakaja, tunutu wasio na idadi,
35
wakala kila jani katika nchi yao, wakala mazao ya ardhi yao.
36
Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao, matunda ya kwanza ya ujana wao wote.
Settings