Rukia maudhui
Zaburi 100:1-3

Wito wa Wote Kumwabudu Mungu

Zaburi 100:1-3
1
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options