Skip to content
Zaburi 100:4-5

Kuingia Mbele za Mungu kwa Sifa

Zaburi 100:4-5
4
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options