Rukia maudhui
Zaburi 10:16-18

Ujasiri katika Utawala wa Mungu wa Milele

Zaburi 10:16-18
16
Bwana ni Mfalme milele na milele, mataifa wataangamia watoke nchini mwake.
17
Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa, wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,
18
ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options