Skip to content
Zaburi 11:1-3

Kumtumaini Bwana Katikati ya Hatari

Zaburi 11:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
2
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
3
Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options