Skip to content
Zaburi 10:16-18

Zaburi 10:16-18

16
Bwana ni Mfalme milele na milele, mataifa wataangamia watoke nchini mwake.
17
Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa, wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,
18
ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options