Rukia maudhui
Mithali 30:32-33

Maonyo ya Mwisho Dhidi ya Ugomvi

Mithali 30:32-33
32
“Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe, au kama umepanga mabaya, basi funika mdomo wako na mkono wako.
33
Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi, na pia kule kufinya pua hutoa damu, kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options