Rukia maudhui
Mithali 25:21-22

Kumtendea Mpinzani Wako

Mithali 25:21-22
21
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe.
22
Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye Bwana atakupa thawabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options