Rukia maudhui
Mithali 24:3-6

Hekima Hujenga na Kuimarisha

Mithali 24:3-6
3
Kwa hekima nyumba hujengwa, nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa
4
kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.
5
Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,
6
kwa kufanya vita unahitaji uongozi na kwa ushindi washauri wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options