7
Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.
8
Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.
9
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
10
Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!