Rukia maudhui
Mithali 24:15-16

Ustahimilivu wa Mwenye Haki

Mithali 24:15-16
15
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
16
Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options