Skip to content
Mithali 24:17-20

Mithali 24:17-20

17
Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati ajikwaapo, usiruhusu moyo wako ushangilie.
18
Bwana asije akaona na kuchukia akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.
19
Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu,
20
kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options