Skip to content
Mithali 24:21-22

Mithali 24:21-22

21
Mwanangu, mche Bwana na mfalme, wala usijiunge na waasi,
22
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options