Rukia maudhui
Mithali 24:11-12

Waokoe Wanaochukuliwa Kuuawa

Mithali 24:11-12
11
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
12
Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,” je, yule apimaye mioyo halitambui hili? Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili? Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options