Rukia maudhui
Mithali 23:17-18

Usiwahusudu Wenye Dhambi

Mithali 23:17-18
17
Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi, bali kila mara uwe na bidii katika kumcha Bwana.
18
Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako, nalo tarajio lako halitakatiliwa mbali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options