Rukia maudhui
Mithali 18:13-18

Hekima Katika Hukumu na Nguvu ya Ndani

Mithali 18:13-18
13
Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.
14
Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?
15
Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.
16
Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.
17
Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi, hadi mwingine ajitokezapo na kumuuliza maswali.
18
Kupiga kura hukomesha mashindano na kutenganisha wapinzani wakuu wanaopingana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options