Skip to content
Mithali 18:19-21

Mithali 18:19-21

19
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika kuliko mji uliozungushiwa ngome, nayo mabishano ni kama malango ya ngome yenye makomeo.
20
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
21
Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options