Mahusiano na Nguvu ya Ulimi
19
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika kuliko mji uliozungushiwa ngome, nayo mabishano ni kama malango ya ngome yenye makomeo.
20
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
21
Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.
Settings