Rukia maudhui
Mithali 17:27-28

Mithali 17:27-28

27
Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
28
Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza, na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options