Rukia maudhui
Mithali 15:13-15

Mtazamo na Afya ya Hisia

Mithali 15:13-15
13
Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke, bali maumivu ya moyoni huponda roho.
14
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.
15
Siku zote za wanaoonewa ni za taabu, bali moyo mchangamfu una karamu ya kudumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options