Skip to content
Mithali 15:16-19

Mithali 15:16-19

16
Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha Bwana, kuliko mali nyingi pamoja na ghasia.
17
Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na upendo kuliko nyama ya ndama iliyonona pamoja na chuki.
18
Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi, bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.
19
Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options