13
Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke, bali maumivu ya moyoni huponda roho.
14
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.
15
Siku zote za wanaoonewa ni za taabu, bali moyo mchangamfu una karamu ya kudumu.