Rukia maudhui
Mithali 14:12-14

Hatari ya Kujidanganya

Mithali 14:12-14
12
Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.
13
Hata katika kicheko moyo waweza kuuma, nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.
14
Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao, naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili ya njia yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options