Skip to content
Hesabu 33:41-49

Hesabu 33:41-49

41
Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
42
Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
43
Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
44
Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
45
Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
46
Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
47
Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
48
Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
49
Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options