Skip to content
Hesabu 33:37-40

Hesabu 33:37-40

37
Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
38
Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
39
Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
40
Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options