Skip to content
Hesabu 33:16-36

Hesabu 33:16-36

16
Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
17
Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
18
Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
19
Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
20
Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
21
Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
22
Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
23
Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
24
Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
25
Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
26
Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
27
Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
28
Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
29
Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
30
Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
31
Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
32
Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
33
Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
34
Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
35
Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
36
Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options