Skip to content
Hesabu 31:36-42

Hesabu 31:36-42

36
Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
37
ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
38
ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
39
punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
40
Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
41
Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
42
Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options